Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
24
Jan
2025UPUMZISHWAJI ZIWA TANGANYIKA UMEONGEZA MALIGHAFI VIWANDANI- DKT. KIJAJI
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa zoezi la upumzishwaji wa hiyari wa shughuli za Uvuvi wa Ziwa Tanganyika limechagiza ongezeko kubwa la malighafi za Viwanda vilivyopo kwenye mikoa inayozungukwa na ziwa hilo. Soma zaidi
-
22
Jan
2025DKT. KIJAJI ABAINISHA MATUNDA YA VIWANDA VYA UVUVI ZIWA TANGANYIKA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa uwepo wa Viwanda vya kuchakata mazao ya Uvuvi kwenye mikoa inayozungukwa na Ziwa Tanganyika umekuwa chachu ya Maendeleo ya wananchi wa mikoa hiyo. Soma zaidi
-
22
Jan
2025PROF. SHEMDOE ATOA MAELEKEZO KWA WAZABUNI WATAKAO SAMBAZA CHANJO NCHINI
Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amewataka wazabuni waliopewa jukumu la kusambaza chanjo kwa ajili ya kampeni ya chanjo ya mifugo nchini kuhakikisha kazi hiyo wanaifanya vyema kwa kushirikiana na wazalishaji. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi