Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
09
Aug
2024NG'OMBE WA KITULO WAMSHANGAZA RIDHIWANI KIKWETE
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshangazwa na ukubwa wa ng'ombe waliopo kwenye ranchi ya Kitulo mkoani Njombe. Soma zaidi
-
09
Aug
2024RAIS SAMIA ATOA BIL 1.1 KWA VIJANA WA BBT, KUFUGA KWA TIJA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekabidhi Shilingi Bilioni 1.1 kwa vikundi 25 vya programu ya “Jenga Kesho Iliyo Bora” (BBT) ili viweze kufuga kwa tija. Soma zaidi
-
04
Aug
2024MNYETI AITAKA SEKTA YA UMMA KUWA YA MFANO KWENYE NANENANE 2024
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Manyeti amezitaka taasisi za Serikali zinazoshiriki kwenye Maonesho ya kimataifa ya wakulima (NaneNane) kuwa wabunifu na kuonesha bidhaa bora ili sekta binafsi waweze kujifunza kutoka kwao. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi