Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    24
    Jan
    2025

    ​UPUMZISHWAJI ZIWA TANGANYIKA UMEONGEZA MALIGHAFI VIWANDANI- DKT. KIJAJI

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa zoezi la upumzishwaji wa hiyari wa shughuli za Uvuvi wa Ziwa Tanganyika limechagiza ongezeko kubwa la malighafi za Viwanda vilivyopo kwenye mikoa inayozungukwa na ziwa hilo. Soma zaidi

  • news title here
    22
    Jan
    2025

    DKT. KIJAJI ABAINISHA MATUNDA YA VIWANDA VYA UVUVI ZIWA TANGANYIKA

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa uwepo wa Viwanda vya kuchakata mazao ya Uvuvi kwenye mikoa inayozungukwa na Ziwa Tanganyika umekuwa chachu ya Maendeleo ya wananchi wa mikoa hiyo. Soma zaidi

  • news title here
    22
    Jan
    2025

    PROF. SHEMDOE ATOA MAELEKEZO KWA WAZABUNI WATAKAO SAMBAZA CHANJO NCHINI

    Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amewataka wazabuni waliopewa jukumu la kusambaza chanjo kwa ajili ya kampeni ya chanjo ya mifugo nchini kuhakikisha kazi hiyo wanaifanya vyema kwa kushirikiana na wazalishaji. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi