Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
68 WAHITIMU MAFUNZO YA UFUGAJI JONGOO BAHARI LINDI
April 01, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amefunga mafunzo ya ufugaji jongoo bahari yaliyokuwa yakifanyika kwenye chuo cha Ufundi Stadi (VETA) kampasi ya Lindi na kuratibiwa na Wizara hiyo chini ya Wakala ya Mafunzo ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) kampasi ya Mkindani mkoani Mtwara.
-
KAMATI YARIDHIA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA 2023/2024
March 27, 2023Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepokea na kuridhia taarifa ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
-
BENKI YA DUNIA KUENDELEA KUWAINUA WAFUGAJI, WAVUVI NCHINI
March 24, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete na kujadiliana namna wanavyoweza kuendelea kushirikiana katika kuimarisha Sekta ya Mifugo na Uvuvi hapa nchini.
-
SEKTA BINAFSI YASHIRIKI ZAIDI UCHUMI WA TAIFA KWA UFUGAJI WA KUKU
March 23, 2023Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaelezwa kuchangia kwa kiasi kikubwa sekta binafsi kushiriki katika mnyororo wa ukuzaji uchumi wa taifa ambapo takriban kaya milioni nne zinajihusisha moja kwa moja na ufugaji wa kuku.