Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
​SERIKALI YAPONGEZA SEKTA BINAFSI KWA KUKUZA SEKTA YA UVUVI
November 25, 2022Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imelipongeza Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) kwa kuviwezesha vikundi saba vya ujasiriamali vya uvuvi ......
-
SERIKALI YAFANYA MAGEUZI KWENYE SEKTA YA MIFUGO
November 25, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amesema Serikali kupitia Wizara ya Mifugo imekuja na mageuzi kwa kufuga mifugo bora yenye tija kupitia Ng'ombe aina ya Borani ili kupata kilo nyingi, nyama nyingi na kuzalisha maziwa mengi jambo ambalo litachangia pato la Taifa.
-
​MAABARA ZA TVLA SASA ZAFANYA KAZI KIDIGITALI
November 25, 2022Wakala ya Maabara ya Mifugo Tanzania (TVLA) imewezeshwa vifaa vya kisasa katika maabara zake ambapo sasa wamekuwa na uwezo wa kutambua kwa haraka vimelea vya magonjwa ya mifugo ndani ya dakika 15 tofauti na hapo awali ambapo ilikuwa inawachukua kati ya masaa 24 hadi 36.
-
ULEGA: TUMIENI TEHAMA KUWAFIKIA WAFUGAJI
November 25, 2022Wataalamu wa mifugo nchini wametakiwa kuhakikisha wanatumia vyema Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuwafikia wafugaji wengi na kutatua changamoto zao.