Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
SEKTA BINAFSI YASHIRIKI ZAIDI UCHUMI WA TAIFA KWA UFUGAJI WA KUKU
March 23, 2023Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaelezwa kuchangia kwa kiasi kikubwa sekta binafsi kushiriki katika mnyororo wa ukuzaji uchumi wa taifa ambapo takriban kaya milioni nne zinajihusisha moja kwa moja na ufugaji wa kuku.
-
SERIKALI KUKOPESHA WANAWAKE SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI
March 23, 2023Serikali kupitia Benki ya Uwekezaji ya Umoja wa Ulaya (EIB) inatarajia kutoa mkopo wa Sh1.3 trilioni kusaidia wanawake kuboresha biashara na uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani katika sekta za mifugo na uvuvi.
-
RAIS SAMIA ATOA MILIONI 878.4 KUBORESHA MIFUGO NCHINI
March 21, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amesema katika kipindi cha miaka miwili tangu Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, serikali imenunua madume ya ng’ombe ya kisasa 366 yenye thamani ya Silingi Milioni 878.4 ili kuboresha mifugo nchini.
-
SAUDI ARABIA KUWEKEZA SEKTA YA MIFUGO NCHINI
March 20, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mazingira, Maji na Kilimo wa Saudi Arabia, Mhandisi AbdulRahman Bin Abdulmohsen Alfadley ili kuona ni namna gani nchi hiyo ya Saudi Arabia inawekeza katika fursa zilizopo kwenye Sekta ya Mifugo hapa nchini.