Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MAUZO YA NYAMA YAONGEZEKA NJE YA NCHI - ULEGA
July 20, 2023Serikali imesema, kiwango cha usafirishaji nyama hapa nchini kimeongezeka hadi kufikia tani 12,243.79 zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 51.894 ziliuzwa nje ya nchi 2022/23 ikilinganishwa na tani 1,774.20 zilizouzwa nje ya nchi 2020/21.
-
PINDA AWATAKA WADAU WA MIFUGO NA UVUVI KUCHANGAMKIA FURSA
July 20, 2023Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda amewataka wadau wa sekta za mifugo na uvuvi nchini kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta hizo ili kujikwamua kiuchumi.
-
SERIKALI YAWEKA NGUVU KATIKA UTAFITI WA RASILIMALI ZA BAHARI NCHINI ILI KUWA NA UVUVI ENDELEVU
July 20, 2023Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Serikali ya Norway imepokea meli ya utafiti ya Dr. Fridtjof Nansen ambayo inafanya utafiti wa ikolojia ya Bahari na rasilimali za uvuvi zinazopatikana katika Bahari ya Hindi na kusaidia kuimarisha usimamizi wa Rasilimali za Bahari.
-
TAASISI ZATAKIWA KUTUMIA VYEMA MAPATO YA NDANI
July 20, 2023Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Sekta ya Mifugo Dkt. Daniel Mushi ametoa rai kwa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii na kujijengea uwezo wa kujipatia vyombo vya kazi ili wafanye kazi kwa ufasaha.