Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WADAU WA MIFUGO WATAKIWA KUIWEZESHA SERIKALI KUPATA MAPATO
December 07, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Tixon Nzunda amewataka wadau wa sekta hiyo kuwa makini wakati wanatoa mapendekezo ya kupunguza au kufuta kodi na tozo kwa kuzingatia kuwa ndio chanzo kikuu cha mapato ya serikali katika kuleta maendeleo ya wananchi.
-
NZUNDA AIPA KONGOLE TVLA
December 07, 2022Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Tixon Nzunda ameipongeza Waakala ya Maabara ya Veterinari nchini (TVLA) kwa ubunifu wa kuadhimisha wiki maalum ya wakala hiyo
-
UGAWAJI WA MADUME BORA YA NG’OMBE NI UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MABADILIKO WA SEKTA YA MIFUGO - NDAKI
November 25, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amesema ugawaji wa madume ya bora ya ng’ombe ni utekelezaji wa mpango wa mabadiliko wa Sekta ya Mifugo.
-
MBEGU ZA MALISHO ZIPATIKANE KWENYE MADUKA YA PEMBEJEO-ULEGA.
November 25, 2022Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega ameitaka Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) kuhakikisha mbegu za malisho bora ya Mifugo zinapatikana kwenye maduka ya pembejeo za Kilimo na Mifugo ili kuwawezesha wafugaji kuzalisha malisho kwa urahisi zaidi.