Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WADAU WAHIMIZWA KUUNGA MKONO MPANGO WA MABADILIKO SEKTA YA MIFUGO
December 07, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amewataka wadau wa sekta ya mifugo wakiwemo wafugaji kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mpango wa mabadiliko wa sekta ya mifugo ili kufanikisha nia ya Serikali ya kuwezesha wananchi kufuga kisasa.
-
ULEGA AHIMIZA WATANZANIA KUTUMIA BIDHAA ZA NDANI
December 07, 2022Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewataka Watanzania kutumia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini ili kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.
-
​MAJALIWA ATOA MAAGIZO MAZITO KUWANUSURU PUNDA TANZANIA
December 07, 2022Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa maagizo sita yatakayolenga uzalishaji na ustawi wa wanyama aina ya Punda ambao wameonekana kuwa kwenye hatari ya kutoweka.
-
AFRIKA YAKUTANA KUJADILI HATMA YA PUNDA
December 07, 2022Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega ameziongoza zaidi ya nchi 20 wanachama wa Umoja wa Afrika ambazo zimekutana leo (01.12.2022) jijini Dar-es-salaam kwa ajili ya kujadili hata ya wanyama aina ya punda wanaodaiwa kuwa kwenye hatari ya kutoweka.