Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WANAFUNZI MIFUGO NA UVUVI KUNUFAIKA NA PROGRAM YA MAFUNZO NJE YA NCHI.
November 01, 2023Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Dkt. Daniel Mushi Oktoba 17,2023 amekutana na ujumbe kutoka Shirika la kimataifa la Bixter linalojishughulisha na uratibu wa mafunzo kwa vitendo katika nyanja za Mifugo na Uvuvi kwa wanafunzi kutoka barani Afrika na Asia.
-
MNYETI AHAMASISHA ULAJI WA CHAKULA SHULENI
November 01, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti, amehamasisha ulaji wa chakula shuleni wakati akiongoza zoezi la ugawaji wa mayai na dagaa kwenye shule ya msingi Bitale maalum iliyopo mkoani Kigoma 14.10.2023.
-
MIFUGO NA UVUVI YAFA KIUME MBELE YA HAZINA
November 01, 2023Timu ya soka ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekubali kipigo cha magoli 3-1 kwenye mchezo wa fainali ya Michuano ya SHIMIWI iliyokuwa ikifanyika mkoani Iringa Oktoba 14, 2023.
-
SERIKALI KUBORESHA ZAIDI MAZINGIRA KWA WADAU WA KUKU
November 01, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amesema wizara ina jukumu la kurahisisha shughuli za wadau wa tasnia ya kuku na wadau wengine wa sekta za mifugo na uvuvi huku akiwataka wadau hao kuhakikisha wanasimamia usalama wa mazao yanayotokana na mifugo yao.