Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
ULEGA AWATAKA WATAALAMU KUONGEZA UBUNIFU KUKUZA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
November 01, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewataka Wataalam wa Sekta za Mifugo na Uvuvi kuongeza ubunifu katika shughuli zao za kila siku ili mchango wa sekta hizo katika uchumi wa Taifa uweze kuongezeka.
-
WAVUVI KUANZA KUTUMIA MFUMO WA KUTAMBUA SAMAKI MAJINI
November 01, 2023Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), inatarajia kuanza kutumia rasmi mfumo wa kuwapatia wavuvi wadogo taarifa ya mahali samaki walipo ili wavuvi hao waweze kuvua kwa tija na kuondokana na uvuvi wa kubahatisha.
-
PROF. MSOFFE AIKABIDHI RASMI NARCO
November 01, 2023Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ranchi za Taifa nchini (NARCO) Prof. Peter Msoffe amekabidhi rasmi majukumu ya usimamizi wa kampuni hiyo kwa kaimu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Bwire Mujarubi Oktoba 23, 2023 jijini Dodoma.
-
DKT. MUSHI AKUTANA NA WAWEKEZAJI TASNIA YA NYAMA NCHINI
November 01, 2023Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Dkt. Daniel Mushi leo Oktoba 18, 2023 amekutana na wawekezaji upande wa tasnia ya nyama kutoka viwanda vya Elia Food na Tanchoice.