Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
ZALISHENI VIFARANGA VYA KUKU KWA KUZINGATIA UBORA NA MAHITAJI YALIYOPO – NZUNDA
December 13, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayesimamia Sekta ya Mifugo amewataka wazalishaji wa vifaranga vya kuku hapa nchini kuzalishaji vifaranga hivyo kwa kuzingatia ubora wa kitaifa na kimataifa na mahitaji yaliyopo.
-
MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWASAIDIA WAFUGAJI KUFUGA KIBIASHARA
December 13, 2022Maafisa ugani kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki wametakiwa kuhakikisha wanawasaidia wafugaji kufuga kibiashara na kuachana na ufugaji usio na tija.
-
WIZARA INATEKELEZA FALSAFA YA KUJITEGEMEA KWA VITENDO-BUTIKU
December 12, 2022Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Joseph Butiku amekoshwa na hatua ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzisha vituo atamizi vitakavyojishughulisha na mafunzo kwa vitendo kuhusu teknolojia ya unenepeshaji wa Mifugo.
-
ULEGA: WIZARA IMEJIPANGA KUBORESHA LISHE YA WANANCHI
December 07, 2022Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema wizara yake inalo jukumu la kuhakikisha mazao yanayozalishwa katika sekta za mifugo na uvuvi yanaendelea kuchangia ipasavyo katika kuimarisha uhakika wa chakula, kuboresha hali ya lishe ya wananchi na kuinua kipato cha wananchi na nchi kwa ujumla.