Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
ZIARA YA ULEGA THAILAND
November 08, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega yuko nchini Thailand kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kujadili changamoto zinazoikabili sekta ya mifugo duniani kutokana na mabadiliko ya kisera, kiuchumi, kijamii na kimazingira.
-
WADAU WAHIMIZWA KUFUGA SAMAKI KUKUZA SEKTA YA UVUVI NCHINI
November 01, 2023Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amewahimiza wadau wa sekta ya uvuvi kujikita katika ufugaji wa viumbe maji ili kusaidia kukuza mchango wa sekta ya uvuvi katika Pato la Taifa kutoka asilimia 1.7 walau kufika mpaka asilimia 5 ifikapo mwaka 2025.
-
MNYETI AHIMIZA UFUGAJI WA KISASA KATAVI
November 01, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amewataka wafugaji mkoani Katavi kuondokana na ufugaji holela licha ya kuwepo kwa maeneo ya kutosha ya malisho ya mifugo yao.
-
SERIKALI YAAHIDI KUIWEZESHA TAFIRI KUFANYA TAFITI ZAIDI
November 01, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema serikali itafanya kila jitihada kuhakikisha Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) inafanya shughuli zake kwa ufasaha ili kuongeza tija katika Sekta ya Uvuvi nchini.