Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
SASA NAONA MAONO YA DKT. SAMIA KUPITIA SEKTA YA MIFUGO YANATIMIA-DKT. MPANGO
April 13, 2023Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kasi kubwa aliyoiona kwa upande wa sekta ya Mifugo.
-
MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUJADILI UCHUMI WA BULUU ZANZIBAR.
April 13, 2023Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (SMT) Prof. Riziki Shemdoe pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi (SMZ), Dkt. Aboud Jumbe jana tarehe 6 machi 2023, wamekutana Mjini Zanzibar katika Ofisi za WUBU kujadili suala la kuimarisha uchumi wa Buluu.
-
VIONGOZI WAANDAMIZI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI WAKAGUA UTENGENEZAJI WA BOTI ZA UVUVI ZANZIBAR.
April 13, 2023Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe Pamoja na Naibu Katibu Mkuu Uvuvi, Agness Meena, jana tarehe 6 Mach, 2023 wamekagua utengenezaji wa Boti za kisasa za uvuvi aina ya fiber zinazotengenezwa na kampuni ya Qiro Group Limited ya zanzibar.
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUJUA NYAMA NI DILI, WAFUGE KIBIASHARA
April 13, 2023Wafugaji wametakiwa kujua kuwa soko la nyama inayozalishwa hapa nchini limefunguka hivyo wajipange kubadilika na kufanya ufugaji wa kibiashara ili waweze kuongeza tija katika uzalishaji.