Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
​VIFARANGA 62,730 VYAZUILIWA KUINGIA NCHINI
December 27, 2022Wakaguzi wa Mifugo na Mazao yake kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi walio katika kituo cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wamevizuia vifaranga vya kuku wa mayai 62,730
-
MABORESHO YA MWONGOZO WA UWEKEJI HERENI YATAMFIKIA KILA MDAU-NDAKI
December 23, 2022​Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amebainisha kuwa Wizara yake inaendelea kufanya maboresho ya Mwongozo unaosimamia zoezi la uwekaji wa hereni za kielektroniki kwenye mifugo ili kufanya zoezi hilo kuwa shirikishi kwa pande zote zinazohusiana na sekta ya ufugaji.
-
MAJALIWA ATOA DIRA YA KUBORESHA SEKTA YA MIFUGO NCHINI
December 23, 2022Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewataka wadau wa Sekta ya Mifugo kuboresha mifumo ya ufugaji ili kufanya shughuli hiyo kwa tija ambapo amesisitiza umuhimu wa sekta hiyo kwa Serikali na Mwananchi mmoja mmoja.
-
MAFUNZO REJEA KWA MAAFISA UGANI YATAJWA KUTATUA CHANGAMATO ZA SEKTA YA MIFUGO
December 23, 2022Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepongezwa kwa kutoa mafunzo rejea kwa maafisa ugani kote nchini ikiwa ni njia mojawapo ya mikakati ya kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya mifugo nchini.