Habari

  • ​ULEGA AJA KIVINGINE

    May 03, 2023

    BAJETI ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewasilishwa bungeni jana huku hatua kadhaa zenye lengo la kuifanya iwe na mchango zaidi kwenye Pato la Taifa (GDP) na kupambana na umasikini kwa wafugaji na wavuvi zikitangazwa.

  • ​MTAMBO WA KUZALISHA KIMIMINIKA NAIC WAZINDULIWA.

    April 29, 2023

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuridhia jumla ya fedha Milioni 300 kwa ajili ya kununua mtambo wa Kimiminika (Liquid Nitrogen) kwa ajili ya kuhifadhia mbegu bora za ng'ombe.

  • NDOTO YA RAIS, DKT. SAMIA KUIFUFUA NARCO YAANZA KUTIMIA

    April 29, 2023

    ​Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiwezesha Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kiasi cha Shilingi bilioni 4.65 kwa ajili ya kununua vitendea kazi na ng'ombe wazazi ili kuboresha na kuongeza uzalishaji wa kampuni hiyo.

  • ​MIL 1O KWA KILA KIJANA KUFUGA KIBIASHARA

    April 28, 2023

    Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda amewaasa watanzania hususan vijana wanaopatiwa mafunzo ya unenepeshaji mifugo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo baada ya mafunzo hayo ya mwaka mmoja kila mmoja ataondoka na mtaji usiopungua Shilingi Milioni Kumi kufanya ufugaji kibiashara.

.