Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
​MNYETI ASHUSHA NEEMA YA RAIS SAMIA KWA WAVUVI MBEYA, NJOMBE, RUVUMA.
November 20, 2023Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander mnyeti amekabidhi boti 4 za Uvuvi za mkopo usio na riba zenye thamani ya shilingi milioni 229.9 kwa wavuvi wa mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Novemba 15, 2023 kwenye bandari ndogo ya Kiwira iliyopo Wilaya ya Kyela mkoani mbeya.
-
ULEGA AWAKARIBISHA WASAUDIA KUWEKEZA SEKTA YA MIFUGO, UVUVI
November 15, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewakaribisha wafanyabiashara na Wawekezaji wa nchini Saudia Arabia kuja kuwekeza nchini kwa sababu kuna mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyowekwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
-
TANZANIA, EU KUSHIRIKIANA KUENDELEZA UCHUMI WA BULUU NCHINI
November 08, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na Mkurugenzi Mtendaji anayeshughulikia Sera za Uvuvi na Sheria za Masuala ya Bahari kutoka Umoja wa Ulaya (EU), Bi. Charlina Vitcheva kujadiliana namna wanavyoweza kuendelea kushirikiana katika kukuza uchumi wa buluu hapa nchini.
-
ULEGA AKABIDHI BOTI ZA THAMANI YA TSH. BILIONI 1 KWA WAVUVI TANGA
November 08, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekabidhi Boti za kisasa 14 za uvuvi zilizotolewa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan zenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.2 kwa ajili ya kuwapa wavuvi Mkoani Tanga ili wazitumie kuboresha shughuli zao.