Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
PROF. SHEMDOE: MAAFISA UGANI NDIO INJINI YA NCHI KUWA KAPU LA CHAKULA BARANI AFRIKA
November 27, 2023Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amewataka Maafisa Ugani kutumia taaluma zao vizuri ili kusaidia kutimiza malengo ya Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
-
MAAFISA UVUVI KAMATENI VIWANDA, MADUKA YANAYOUZA NYAVU HARAMU-MNYETI
November 20, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amewataka maafisa uvuvi kote nchini kuhakikisha wanapita kwenye viwanda vya ndani na maduka yote yanayouza nyavu za kuvulia samaki zisizoruhusiwa na kuwachukulia hatua za kisheria badala ya kushughulika moja kwa moja na wavuvi wanaozitumia pindi zikiingia sokoni.
-
MNYETI ATANGAZA KIAMA CHA WAVUVI HARAMU ZIWA TANGANYIKA
November 20, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti ametangaza vita kwa watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo katika Ziwa Tanganyika ambapo ameweka wazi mipango ya Serikali kupitia Wizara yake kuunda kikosi kazi maalum kitakachoshughulikia jambo hilo.
-
DKT. SAMIA AMEDHAMIRIA KUFANYA MAPINDUZI YA SEKTA YA UVUVI-MNYETI
November 20, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi amebainisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepania kuifanya sekta ya Uvuvi kuwa moja ya sekta vinara katika kukuza uchumi wa nchi.