Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUMILIKI MAENEO NA KUPANDA MALISHO
January 16, 2023Wafugaji wilayani Tarime wametakiwa kumiliki maeneo na kupanda majani kwa ajili ya malisho ya mifugo yao.
-
NAIBU WAZIRI ULEGA ATAKA UWEKEZAJI WA KIBIASHARA HUKU AKILIGUSIA ZAO LA DAGAA
January 16, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb) amesema serikali imekuwa ikiweka mazingira mazuri ya uwekezaji ili sekta mbalimbali ikiwemo ya uvuvi kufanya kazi kibiashara kwa kuzalisha zaidi bidhaa mbalimbali.
-
NDAKI: ENEO LA KITUO CHA KUPUMZISHIA MIFUGO BUHEMBA HALIJAUZWA
January 15, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amewahakikishia wananchi wa Kijiji cha Mekomariro kuwa eneo la Kituo cha Kupumzishia Mifugo Buhemba kuwa halijauzwa na hakuna muwekezaji yeyote aliyepatiwa eneo hilo.
-
BULAYI: SERIKALI HAIJASITISHA MATUMIZI YA TAA ZA SOLA KATIKA UVUVI WA DAGAA ZIWA VICTORIA
December 31, 2022Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imesema haijatoa agizo la kusitisha matumizi ya Taa za Sola katika uvuvi wa Dagaa kwenye Ziwa Viktoria ifikapo Januari Mosi, 2023, huku ikiwataka wavuvi kuendelea na shughuli zao kwa kuzingatia Sheria, Taratibu, Kanuni Miongozo inayosimamia shughuli za uvuvu nchini.