Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
UIMARISHWAJI WA TVLA UNAENDA KUSAIDIA KUIMARIKA KWA MIFUGO NCHINI KUWEZA KUPATA MASOKO NJE YA NCHI-PROF.SHEMDOE
May 19, 2023KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara kutembelea Maabara za Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kufahamu na kujionea kazi ambazo zinafanywa na Wakala hiyo.
-
SERIKALI YAJA NA MPANGO ENDELEVU WA UNYWAJI MAZIWA SHULENI
May 19, 2023Serikali iko kwenye mkakati wa kukamilisha mpango kazi wa unywaji maziwa shuleni, ili kuhakikisha wanafunzi wanakunywa maziwa ili kuimarisha afya zao.
-
BIL. 4.6 KUWANUFAISHA WAVUVI TANGA NA PEMBA.
May 19, 2023Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na nchi ya Ireland wameanza utekelezaji wa mradi wa "Bahari Mali" wenye thamani ya shilingi Bil.4.6 ambao utavinufaisha vikundi 19 vya wanawake na vijana waliopo mkoa wa Tanga na Pemba.
-
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA 2023/2024
May 06, 2023Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2023/2024.