Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
KAMATI YAKOSHWA NA VIWANGO VYA UJENZI MWALO WA "CHATO BEACH"
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepongeza viwango vya ubora wa ujenzi wa mwalo wa Chato Beach uliopo Wilaya ya Chato mkoani Geita ambao umefikia asilimia 91 hadi kukamilika kwake.
-
ZIWA IKIMBA KUVUNA TANI 13 ZA SAMAKI BAADA YA MIEZI 6
March 13, 2025Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa zoezi la upandaji vifaranga vya samaki Mil.1.5 kwenye Ziwa Ikimba lililopo mkoani Kagera litaongeza mavuno ya samaki kwa mwaka kwenye ziwa hilo kutoka Tani 1 inayovunwa hivi sasa hadi tani 13 baada ya miezi 6.
-
NCHI 28 ZA AFRIKA KUJADILI MAPAMBANO DHIDI YA MADAWA NA CHANJO FEKI KWA MIFUGO.
March 06, 2025Nchi 28 zimekutana katika mkutano wa kimataifa wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH) kwa ukanda wa Afrika, lengo likiwa ni kujadili na kuweka mikakati ya kudhibiti madawa na chanjo feki kwa mifugo
-
DKT. KIJAJI AFANYA ZIARA USHELISHELI
March 06, 2025Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji tarehe 1 Machi, 2025 amefanya ziara katika Bandari ya Uvuvi ya Ushelisheli ambayo ni kubwa zaidi katika Ukanda wa Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi.