Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
SERIKALI YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI
January 27, 2023Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) imepokea taarifa ya utekelezaji wa mradi wa usimamizi wa pamoja wa rasilimali za uvuvi na mazingira ya bahari SWIOFIC -Nairobi Convention unaofadhiliwa na Serikali ya Sweden kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa (SIDA).
-
SERIKALI YATAKA USIMAMIZI MZURI ZAIDI WA SEKTA YA UVUVI, KUFIKIA MALENGO ENDELEVU
January 25, 2023Serikali imedhamiria kuimarisha usimamizi wa rasilimali za uvuvi nchini ili kuwezesha Sekta ya uvuvi kuendelea kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu ikiwa ni miongoni mwa sekta za kiuchumi .......
-
WANANCHI MBARALI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUMALIZA MGOGORO WA ARDHI
January 18, 2023Wasema sasa wapo huru kuendelea na shughuli zao za ufugaji na kilimo kwa amani.
-
BUCHA ZA NYAMA, MINADA YA MIFUGO SASA KUWAHI ZAIDI
January 18, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega ameagiza bucha za nyama za Serikali zilizopo chini ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO)