Habari

  • ​MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA NANE NANE 2020

    July 24, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Kusaya leo (24.07.2020) ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa wizara za kisekta kujadili maandalizi ya Maonesho ya Kilimo Nane nane yatakayofanyika kitaifa mkoani Simiyu kuanzia tarehe 01 Agosti, 2020.

  • ​NARCO YAMSIMAMISHA KAZI MENEJA WEST KILIMANJARO

    July 21, 2020

    ​Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO), Masele Mipawa amemsimamisha kazi Meneja wa Ranchi ya West Kilimanjaro iliyopo Kilimanjaro, Hezron Kyaruzi kwa tuhuma za kukosa uadilifu kwa mali za Umma na kusababisha upotevu wa Ng’ombe takriban 32.

  • SIJARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI - DKT. TAMATAMAH.

    July 21, 2020

    ​Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Jeongo la Utawala la Ofisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) unaoendelea katika Kisiwa cha Mafia.

  • NAMBARI ZA MITIHANI KWA WATAHINIWA WANAOTARAJIA KUFANYA MITIHANI

    July 21, 2020

    NAMBARI ZA MITIHANI KWA WATAHINIWA WANAOTARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUJIANDIKISHA NA BARAZA LA VETERINARI KAMA WATAALAM WASAIDIZI UTAKAOFANYIKA JULAI 28-29, 2020.

.