Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
Waziri Mpina akabidhiwa madawa ya kuogeshea Mifugo katika zoezi la uogeshaji Mifugo -CHATO
December 17, 2018Katika kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya Tano,mimi nikiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, nitaboresha huduma za Mifugo ili tupate Mazao ya Mifugo yaliyo Bora ikiwa ni pamoja na kuogesha Ng'ombe wetu mara kwa mara ili kuua wadudu waenezao Magojwa kwa Mifugo.
-
Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi Dr. Rashid Tamatama afungua Mafunzo ya Wataalamu wa Magonjwa ya samaki
December 09, 2018UFUNGUZI WA MAFUNZO YA WATAALAMU WA MAGONJWA YA SAMAKI KUTOKA NCHI MBALIMBALI.
-
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega aongoza kikao cha Tathmini ya Operesheni Sangara IIII
December 09, 2018“Operesheni uvuvi haramu yapaisha mapato ya serikali kuu”
-
WAZIRI LUHAGA MPINA AKUTANA NA WASINDIKAJI WAKUBWA WA MAZIWA NCHINI
November 13, 2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh.Luhaga Joelson Mpina (Mb) amekutana na Kampuni kubwa za usindikaji wa maziwa nchini (Tanga Fresh, ASAS,MILCOM NA AZAM) leo tarehe 12/11/2018 jijini Dodoma.