Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
NAIBU WAZIRI ULEGA AKABIDHI CHANJO YA MIFUGO - MKURANGA
July 29, 2019Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wa pili (kushoto)akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji Bw. Nata (kulia) Chanjo ya homa ya ugonjwa wa homa ya Mapafu ya ng’ombe Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani.
-
WAZIRI MPINA AKIHUTUBIA MKUTANO WA WAFUGAJI WILAYA YA MEATU - SIMIYU
July 29, 2019Waziri mwenye dhamana ya kusimamia Sekta ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akihutubia Mkutano wa Wafugaji Wilaya ya Meatu, Mkoa wa Simiyu nakusema kuwa,“Matatizo ya Wafugaji sasa yamefika mwisho”.
-
Maziwa Lita 5,810 zatolewa katika Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa Mkoani Arusha
June 04, 2019Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akishiriki zoezi la ugawaji wa maziwa kwa baadhi ya Wanafunzi waliotoka Shule mbalimbali Mkoani Arusha
-
Waziri Mpina akiangalia mitambo iliyopo katika kiwanda cha maziwa cha Kilimanjaro Fresh kilichopo Jijini Arusha
May 15, 2019Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina atembelea kiwanda cha Kilimanjaro fresh kilichopo Jijini Arusha.