Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
Katibu Mkuu Mifugo Prof. Elisante akiwa ameshika Liquid Nitrogen
August 27, 2018Katibu Mkuu Mifugo Prof.Elisante Ole Gabriel amewataka wafugaji nchini kufuga kisasa ili waweze kujikwamua na Umaskini na kuongeza kipato.
-
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewaagiza Maafisa uvuvi kuweka hadharani tozo za samaki
August 27, 2018NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewaagiza Maafisa uvuvi kuweka hadharani tozo za samaki pamoja na mazao ya uvuvi kwa wafanyabiashara wa bidhaa hizo.
-
Katibu Mkuu Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akishika ndama aina ya Ankole
August 27, 2018Prof.Ole Gabriel amesema kuwa lengo kubwa la kutembelea ranchi hizo za Missenyi,Kikurula na Mabale ni Kuhakikisha zinakuwa mfano bora wa kutoa elimu kwa wafugaji na kuboresha maisha ya wafugaji.
-
Baadhi ya ng'ombe aina ya Ankole waliopo katika shamba la Alpha Choice -Chato
August 27, 2018Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof.Elisante Ole Gabriel jana amekamilisha ziara yake ya kutembelea mikoa sita ya kanda ya Ziwa,lengo ikiwa ni kuhamasisha wafugaji kufuga kisasa na kibiashara ili waweze kujikwamua kimaisha.