Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MCHAKATO WA KUPITIA UPYA SERA YA MIFUGO WAIVA, INALENGA KUONGEZA KIPATO KWA WATANZANIA WANAOTEGEMEA MIFUGO.
December 01, 2021WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema, sekta ya mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa Taifa, kuongeza kipato kwa Watanzania wanaotegemea mifugo, kutoa fursa za ajira na kuhifadhi rasilimali za Taifa.
-
BILIONI 50 KUANZISHA UJENZI WA BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO
December 01, 2021Serikali imetenge fedha shilingi bilioni 50 kwa ajili ya kuanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ambayo itajengwa Wilayani Kilwa mkoani Lindi.
-
UANZISHWAJI HOLELA WA MASOKO NA MINADA YA MAZAO YA MIFUGO NA UVUVI WAPIGWA MARUFUKU
December 01, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amepiga marufuku uanzishwaji holela wa masoko na minada ya mazao ya mifugo na uvuvi ambapo amesema masoko na minada hiyo inatumiwa na wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi ya Serikali.
-
SERIKALI KUONDOA ZAIDI TOZO ZINAZOKWAMISHA MAENDELEO SEKTA YA UVUVI
December 01, 2021Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Dkt. Rashid Tamatamah amesema tozo nyingi katika sekta ya uvuvi ambazo zipo chini ya wizara tayari zimeboreshwa na nyingine kuondolewa ili kuweka mazingira mazuri zaidi ya kufanya kazi kwa wadau wa uvuvi nchini.