Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
HALMASHAURI ZAHIMIZWA KUZINGATIA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI
December 01, 2021Halmashauri zote nchini zimehimizwa kuzingatia mipango bora wa matumizi ya ardhi ikiwemo kuweka njia za Mifugo zitazowawezesha kwenda kwenye Malisho, maji na kwenye Masoko Ili kuondokana na migogoro isiyo ya lazima baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi.
-
SERIKALI KUANZA KUJENGA MNADA WA MPAKANI WA KILEO.
December 01, 2021SERIKALI kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi sekta ya Mifugo imeanza kujenga miradi ya maendeleo inayokusudiwa kutekelezwa kwa mwaka 2021/2022, moja kati miradi hiyo ni mnada wa Mpakani wa kileo uliyopo Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro.
-
MAAFISA MADUHULI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAZIBA MIANYA YA UPOTEVU WA MAPATO KATIKA MINADA
December 01, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka Maafisa Maduhuli wa Serikali katika Minada ya Upili na ile ya Mpakani kuziba mianya inayosababisha upotevu wa mapato huku akiwataka kuongeza ufanisi katika ukusanya wa maduhuli hayo.
-
SERIKALI YAGAWA VIFARANGA 2600 KWA VIKUNDI VYA KINAMAMA MKURANGA
December 01, 2021Katika jitihada za kuwakwamua kiuchumi wananchi hususan kinamama, Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imegawa Vifaranga 2600 kwa mashamba darasa mawili katika kata ya Vikindu na Kimanzichana vilivyopo wilayani Mkuranga, mkoani Pwani.