Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MIFUGO YATAKIWA KUPATIWA CHANJO ILI KUFIKIA UFUGAJI BORA
December 01, 2021Chama cha Madaktari wa Wanyama Tanzania (TVA), leo kimezindua kampeni ya kutoa chanjo kwa wanyama wafugwao ili kuikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwa ni sehemu ya mkutano wa 39 wa kisayansi wa chama hicho utakaofanyika jijini Dodoma.
-
MINADA ISIYOSAJILIWA NA WIZARA KUFUTWA MWEZI FEBRUARI, 2022
December 01, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki ametoa siku 90 kwa halmashauri zote nchini kuhakikisha minada ambayo haijasajiliwa na wizara inasajiliwa kabla hajaifungiwa.
-
MABADILIKO YA TABIA NCHI KUDHIBITIWA, KUINUA UCHUMI WA BULUU
December 01, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (Mb), amesema Tanzania ni moja ya nchi kusini mwa janga la sahara ambayo inaweka mikakati ya namna ya kudhibiti mabadiliko ya tabia nchi kwa kuvua kiendelevu mazao ya uvuvi yaliyopo katika Bahari ya Hindi.
-
WIZARA YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUIMARISHA LISHE NCHINI
December 01, 2021Wizara ya Mifugo na Uvuvi imebainisha mikakati na malengo iliyonayo katika kuhakikisha inaboresha lishe nchini ikiwa ni pamoja na kuongeza uzalishaji wa mazao ya nyama, maziwa, mayai na samaki ifikapo mwaka 2026.