Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
KATIBU MKUU MIFUGO AKISIKILIZA KERO ZA WAFUGAJI NGORONGORO
November 02, 2018Katibu Mkuu Mifugo Pro. Elisante Ole Gabriel mwenye shuka jekundu akisikiliza kero za wafugaji - Ngorongoro
-
KATIBU MKUU UVUVI DR. RASHID TAMATAMA ATEMBELEA SOKO LA SAMAKI FERRY KUKAGUA UJENZI WA VYOO
November 02, 2018Katibu Mkuu wa Uvuvi Dkt. Rashid Tamatama, atembelea Soko la samaki Ferri - Kivukoni kuangalia ujenzi wa vyoo 24 ambavyo vitapunguza msongamano katika soko hilo.
-
Mhe. Luhaga Mpina ampongeza Bw. Paul Kimiti Mwenyekiti wa Bodi ya (NARCO) baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais.
October 29, 2018Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) imezinduliwa rasmi leo tarehe 27/10/2018 na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina.
-
Ulega apokea mkataba kutoka kwa Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya ( EU )
September 27, 2018Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi akipokea mkataba kutoka Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU), Jenny Correia Nunes, baada ya kusaini makubaliano ya kupokea msaada wa boti mbili za doria zenye thamani ya Shilingi Millioni 144 zilizotolewa na EU kupitia miradi ya WWF Nchini