Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
TAASISI ZA FEDHA ZAHIMIZWA KUTOA MIKOPO KWA WAVUVI NA WAFANYABIASHARA WA DAGAA
December 01, 2021Taasisi za kifedha nchini zimehimizwa kutoa mikopo kwa wavuvi na wafanyabiashara wa dagaa kwa kuwa zao hilo lina tija kiafya na kiuchumi.
-
WAZIRI NDAKI AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA OMAN
December 01, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema Wizara yake itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowavutia wawekezaji katika Sekta ya Mifugo ili kukuza thamani ya mifugo na kupandisha kipato cha wafugaji hapa nchini.
-
ZALISHENI NYAVU KWA KUZINGATIA UBORA - ULEGA
December 01, 2021Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekitaka kiwanda cha kuzalisha nyavu za kuvulia dagaa cha Ziwa Net kuzalisha nyavu hizo kwa kuzingatia ubora.
-
WIZARA INAENDELEA KUFANYIA KAZI SUALA LA KUPUNGUZA TOZO ZA BIASHARA YA MIFUGO.
December 01, 2021Kaimu Mkurugenzi wa huduma ya Uzalishaji na Masoko Stephen Michael amesema Wizara inaendelea kulifanyia kazi suala la kupunguza tozo za biashara ya Mifugo na tayari timu ya wataalamu imeshaundwa na Mhe. waziri kwa ajili ya kumshauri na kulifanyia kazi