Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
SERIKALI KUJENGA MAJOSHO 178
January 03, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema kuwa katika mwaka huu wa fedha 2021/2022 Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepanga kujenga Majosho ya kuogeshea Ng'ombe 178.
-
WIZARA IMEANZA MAFUNZO YA KUHAMASISHA ZOEZI LA UTAMBUZI, USAJILI NA UFUATILIAJI WA MIFUGO NCHINI
January 03, 2022Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza mafunzo ya kuhamasishazoezi la utambuzi, usajili na Ufuatiliaji waMifugo katika mikoa yote ya Tanzania, moja ya mikoa hiyo ambayo mafunzo hayo yanatolewa ni mkoa wa Ruvuma.
-
FISH4ACP ITACHOCHEA ONGEZEKO LA PATO LA TAIFA KUPITIA SEKTA YA UVUVI-DKT. TAMATAMAH
January 03, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah amesema kuwa Mradi wa FISH4ACP utasaidia kuongeza nguvu kwenye maboresho ambayo sekta ya Uvuvi inaendelea kuyafanya.
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUTUMIA MFUMO WA UTAMBUZI WA MIFUGOKIELEKTRONIKI
January 03, 2022Serikali ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa imewataka wafugaji Wilayani humo kutumia vyema fursa iliyotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuviya utambuzi wa mifugo kwa mfumo wa kielektroniki.