Habari

  • ​SERIKALI YA RAIS, DKT. SAMIA YAENDELEA KUWAINUA WAVUVI

    June 27, 2023

    Katika hatua za kutekeleza mikakati ya kujenga na kuboresha uwezo wa wavuvi kufanya kazi zao kwa uhakika na kuimarisha usalama wao, Serikali ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imegawa kwa wavuvi vifaa vya kujiokolea ili waepukane na matatizo ya kuzama baharini.

  • SERIKALI YA DKT. SAMIA YAENDELEA KUWAINUA WAVUVI

    June 27, 2023

    Katika hatua za kutekeleza mikakati ya kujenga na kuboresha uwezo wa wavuvi kufanya kazi zao kwa uhakika na kuimarisha usalama wao, Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imegawa kwa wavuvi vifaa vya kujiokolea ili waepukane na matatizo ya kuzama baharini.

  • ​SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA MPANGO WA UFUGAJI WA KISASA NA KIBIASHARA – SILINDE

    June 27, 2023

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amesema serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuhakikisha wafugaji wanafuga kisasa na kibiashara ili kuongeza tija kwa wafugaji na mchango wa Sekta ya Mifugo kwenye pato la taifa.

  • ​WANUFAIKA WA MIKOPO YA UFUGAJI SAMAKI WAPATIWA MAFUNZO

    June 26, 2023

    Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Erasto Sima amewataka wanufaika wa mikopo ya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kuhakikisha wanazingatia mafunzo ya utekelezaji wa miradi hiyo kitaalam ili iweze kuwaletea maendeleo na kuweza kurejesha mikopo kwa wakati

.