Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
TVLA KUTOA HUDUMA YA CHANJO, KUPIMA MIFUGO BURE
November 25, 2022Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania imepanga kutoa huduma ya Chanjo pamoja na upimaji wa magonjwa ya mifugo bure kwa maeneo yatakayobainishwa kwenye vituo vya 11 vilivyopo Tanzania nzima kuanzia tarehe 21/11/2022 hadi tarehe 25/11/2022 ikiwa ni maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwake.
-
WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUTUNZA MIFUGO YAO
November 25, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (Mb), amewataka wafugaji wa Halmashauri ya Msalala kutunza Mifugo yao na kuangalia Afya ya Mifugo, ili kuweza kuboresha kosaafu za mifugo hususani Ng'ombe wa Nyama.
-
SERIKALI YAANZA KUBORESHA MASHAMBA YA MIFUGO
November 25, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (Mb) amesema serikali imeanza kuboresha mashamba yake ya mifugo kwa kununua ng'ombe kwa ajili ya kuongeza uzalishaji na kuuza kwa watu binafsi.
-
CHUO CHA MIFUGO KUJENGWA SONGWE KUZALISHA WATAALAMU WA KUTOSHA NCHINI
November 25, 2022Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA) wamesaini mkataba wa ushirikiano na Chuo cha Shandong nchini China ikiwemo kujenga chuo cha mifugo mkoani Songwe.