Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
AFRICA’S FOOD SYSTEMS FORUM 2023
July 10, 2023AFRICA’S FOOD SYSTEMS FORUM 2023
-
MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USHIRIKI WA MKUTANO MKUU WA AGRF 2023
July 10, 2023MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI TAREHE 12 JULAI, 2023 KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USHIRIKI WA MKUTANO MKUU WA AGRF SEPTEMBA 5-8, 2023
-
TANZANIA NA CHINA ZAKUBALIANA KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI NCHINI
July 06, 2023Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi na ile ya China kupitia Wizara ya Sayansi na Teknolojia zimekubaliana kuimarisha sekta ya Uvuvi kwa kushirikiana katika kuongeza teknolojia ya utekelezaji wa shughuli za uvuvi nchini.
-
PROF.SHEMDOE AONGOZA TIMU YA WATALAAM KWENDA NCHINI IRELAND.
July 04, 2023Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe ameongoza timu ya wataalam kutoka nchini Tanzania unaotembelea nchi ya Ireland kuanzia Tarehe 03.07.2023 kwa ajili ya mashirikiano ya namna ya kuboresha Sekta ndogo ya Maziwa Nchini Tanzania Kwa fedha za msaada wa Serikali ya Ireland.