Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiweka Jiwe la Msingi kwenye Kiwanda kikubwa cha Kusindika Nyama cha Tanchoice

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa Kuchinja Ng'ombe 1000 kwa siku na Mbuzi 4500. Hivyo ni fursa kubwa kwa Wafugaji kwa maana Soko la Mifugo lakini pia ni fursa kwa Vijana wa Tanzania kuweza kupata ajira, kutokana na kwamba Kiwanda kinauwezo wa kuajiri wafanyakazi 500