Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
ENEO LA KITARAKA KUTUMIKA KIMKAKATI KUZALISHA MIFUGO KIBIASHARA
January 31, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb) amesema kuwa Serikali imedhamiria kulitumia eneo la kupumzishia mifugo la Kitaraka lililopo wilayani Manyoni, Singida
-
WAFUGAJI WANAOHAMA BONDE LA MTO KILOMBERO WASIZUIWE-NDAKI
January 31, 2023◼️ Awashangaa watendaji wanaowawekea vikwazo
-
BILIONI 60 ZAWEKEZWA SEKTA YA UVUVI, NCHI ZA ULAYA ZAHAMASIKA KATIKA UFUGAJI SAMAKI
January 31, 2023Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewekeza Shilingi Bilioni 60 katika Sekta ya Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2022-2023 ili kuinua kipato cha wananchi kupitia sekta hiyo.
-
WAFUGAJI WANAOVAMIA MASHAMBA YA WAKULIMA NI WAHALIFU WASHUGHULIKIWE-NDAKI
January 27, 2023Kufuatia malalamiko yaliyotolewa na wakulima kwenye mikutano ya hadhara aliyoifanya jana (26.01.2023) kwenye kata za Ulaya na Mbwade Wilayani Kilosa.......