Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
NZUNDA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI NA ASASI BINAFSI
June 30, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Tixon Nzunda amewataka vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali pamoja na Asasi binafsi ili kuweza kupambana na tatizo la ukosefu wa Ajira nchini.
-
MAENEO YALIYOTENGWA KWA AJILI YA MALISHO YA MIFUGO YATAKIWA KUSAJILIWA
June 30, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amesema kuwa maeneo yote ya malisho yaliyotengwa kwenye halmashauri yanatakiwa kusajiliwa na kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.
-
WAZIRI NDAKI AGAWA INJINI ZA BOTI KWA AJILI YA WAVUVI
June 30, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amekabidhi injini za boti kwa ajili ya wavuvi katika Halmashauri za Wilaya za Pangani, Mtwara Mjini na Iringa.
-
NZUNDA AZINDUA MRADI WA UNENEPESHAJI, UZALISHAJI CHAKULA CHA MIFUGO
June 30, 2022Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda amezidua Mradi wa uandaaji wa lishe bora ya gharama nafuu kwa unenepeshaji wa Ng’ombe nchini uliofanyika kwenye ofisi za taasisi ya Utafiti wa Mifugo(TALIRI) kanda ya Mashariki jijini tanga Juni 23, 2022.