Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
Serikali yafanikiwa Kushinda Kesi ya meli ya Uvuvi haramu
June 09, 2020Serikali yafanikiwa Kushinda Kesi ya meli ya Uvuvi haramu
-
"NJIWA PORI" AMPA HEKO WAZIRI MPINA!
June 09, 2020Joseph Kando "Njiwa Pori" aliyekuwa kinara wa uvuvi haramu Ziwa Victoria ampa heko Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (Mb) kwa kudhibiti uvuvi haramu. Haya yalijiri katika kikao cha kitaifa cha tathmini ya 'Operesheni Sangara II, 2018 kilichofanyika Jijini Dodoma
-
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugona Uvuvi (Mifugo) atembelea Mji wa Serikali Jijini Dodoma
June 09, 2020Katibu Mkuu Wizara ya Mifugona Uvuvi (Mifugo) atembelea Mji wa Serikali Jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi.
-
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina ametoa msimamo wa serikali juu ya watendaji
June 09, 2020Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina ametoa msimamo wa serikali juu ya watendaji wanaokwamisha operesheni mbalimbali zinazoendeshwa na wizara hiyo pamoja na watanzania wanakaokiuka sheria nje ya nchi. Waziri Mpina ametoa msimamo huo jana (04.12.2018) wakati wa kikao cha tathmini ya Operesheni Nzagamba II, 2018, kilichofanyika Jijini Dodoma.
-
Dkt. Rashid Tamatama afungua Mkutano wa Wataalamu wa magonjwa ya Samaki
June 09, 2020Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi Dkt. Rashid Tamatama aliwaeleza Wataalamu wa Magonjwa ya samaki kuwa, tunatakiwa kupambana na kuzuia Magonjwa yanayovuka mipaka ( trans boundary).