Albamu ya Video

  • KASI YA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI DODOMA, HAISHIKIKI!!!

    KASI YA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI DODOMA, HAISHIKIKI!!!

    June 09, 2020

    Tarehe 14.12.2018 Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetiliana saini na SUMA JKT kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika Mji wa serikali, Mtumba Jijini Dodoma.

  • Serikali yafanikiwa Kushinda Kesi ya meli ya Uvuvi haramu

    Serikali yafanikiwa Kushinda Kesi ya meli ya Uvuvi haramu

    June 09, 2020

    Serikali yafanikiwa Kushinda Kesi ya meli ya Uvuvi haramu

  • "NJIWA PORI" AMPA HEKO WAZIRI MPINA!

    June 09, 2020

    Joseph Kando "Njiwa Pori" aliyekuwa kinara wa uvuvi haramu Ziwa Victoria ampa heko Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (Mb) kwa kudhibiti uvuvi haramu. Haya yalijiri katika kikao cha kitaifa cha tathmini ya 'Operesheni Sangara II, 2018 kilichofanyika Jijini Dodoma

  • Katibu Mkuu Wizara ya Mifugona Uvuvi (Mifugo) atembelea Mji wa Serikali Jijini Dodoma

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugona Uvuvi (Mifugo) atembelea Mji wa Serikali Jijini Dodoma

    June 09, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugona Uvuvi (Mifugo) atembelea Mji wa Serikali Jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi.

  • Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina ametoa msimamo wa serikali juu ya watendaji

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina ametoa msimamo wa serikali juu ya watendaji

    June 09, 2020

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina ametoa msimamo wa serikali juu ya watendaji wanaokwamisha operesheni mbalimbali zinazoendeshwa na wizara hiyo pamoja na watanzania wanakaokiuka sheria nje ya nchi. Waziri Mpina ametoa msimamo huo jana (04.12.2018) wakati wa kikao cha tathmini ya Operesheni Nzagamba II, 2018, kilichofanyika Jijini Dodoma.

.