Albamu ya Video

  • KATIBU MKUU MIFUGO ATOA NENO KWA MKUU WA SUMA JKT!

    KATIBU MKUU MIFUGO ATOA NENO KWA MKUU WA SUMA JKT!

    June 09, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA JKT Kanali Rajabu Mabele wakati akikagua ujenzi wa jengo la wizara katika mji wa serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma. (27.02.2019)

  • UWEKEZAJI SEKTA YA MAZIWA WAANZA NA NMB, WAFUGAJI WAPATIWA SOMO!

    UWEKEZAJI SEKTA YA MAZIWA WAANZA NA NMB, WAFUGAJI WAPATIWA SOMO!

    June 09, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel azungumza na mwandishi wa habari wa Gazeti la Mwananchi, kuhusu mkutano mkubwa wa wadau wa sekta ya maziwa unaofanyika (25 na 26.02.2019)

  • MAKATIBU WAKUU WAONYESHA KWA VITENDO, UJENZI WA JENGO LA WIZARA!

    MAKATIBU WAKUU WAONYESHA KWA VITENDO, UJENZI WA JENGO LA WIZARA!

    June 09, 2020

    Makatibu wakuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Elisante Ole Gabriel (Mifugo) na Dkt. Rashid Tamatama (Uvuvi) wameshiriki katika ujenzi wa jengo la wizara katika mji wa serikali Mtumba jijini Dodoma.

  • "Hatupendi kusikia wanaojenga majengo ya serikali wana madai" Naibu Waziri Ulega

    June 09, 2020

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amefanya tathmini ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la wizara hiyo (04.01.2019) katika Mji wa Serikali jijini Dodoma na kusisitiza SUMA JKT waendelee kuwalipa kwa wakati wafanyakazi wanaojenga jengo hilo pamoja na kuzingatia ubora wa jengo kulingana na thamani halisi ya pesa.

  • Tathmini: Ziara ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kisiwani Zanzibar!

    Tathmini: Ziara ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kisiwani Zanzibar!

    June 09, 2020

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega aelezea ziara yake ya siku moja visiwani Zanzibar mbele ya waandishi wa habari katika kisiwa cha Unguja kwenye ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bahari Kuu Zanzibar (21.12.2018)

.