Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (MAFANIKIO YA TVLA DHIDI YA MAGONJWA NA UHAKIKI WA VYAKULA VYA MIFUGO)
June 09, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu majukumu ya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) ambayo yamelenga kudhibiti magonjwa ya mifugo kwa kutumia chanjo zinazozalishwa hapa nchini pamoja na kuhakiki ubora wa vyakula vya mifugo kupitia maabara ya vyakula vya mifugo iliyo chini ya wakala hiyo.
-
Mengi ametuachia Pigo kubwa kwa Taifa, Waziri Mpina
June 09, 2020Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina akishiriki kuupokea Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi leo Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam.
-
KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UMUHIMU WA MAABARA YA TAIFA NYEGEZI KATIKA SEKTA YA UVUVI NCHINI
June 09, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utapata fursa ya kufahamu majukumu na umuhimu wa Maabara ya Taifa Nyegezi (FETA) katika kuinua sekta ya uvuvi nchini.
-
KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UTUNZAJI BORA WA NGOZI)
June 09, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla.
-
KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UFUGAJI SAMAKI KWENYE MABWAWA)
June 09, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla.