Albamu ya Video

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UFUGAJI SAMAKI KWENYE MABWAWA)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UFUGAJI SAMAKI KWENYE MABWAWA)

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla.

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UFUGAJI BORA WA NG'OMBE)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UFUGAJI BORA WA NG'OMBE)

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla.

  • Serikali haina mchezo Wataalamu watua MAFIA kufundisha Wavuvi

    Serikali haina mchezo Wataalamu watua MAFIA kufundisha Wavuvi

    June 09, 2020

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina amepeleka Wataalamu kwa ajili ya kuwafundisha Wavuvi. Akiwa Mafia Waziri Mpina amezindua mafunzo hayo na kuwahimiza Wavuvi wote kuwa makini ili waweze kuelewa mafunzo yatakayo tolewa na Wataalamu hao.

  • WAZIRI MPINA AWAAPISHA WAJUMBE 8 WA BODI YA TALIRI

    WAZIRI MPINA AWAAPISHA WAJUMBE 8 WA BODI YA TALIRI

    June 09, 2020

    SERIKALI imeitaka bodi mpya ya Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TALIRI) kufanya tafiti za kitaifa ili kuondoka dhana ya taasisi nyingine ambazo zimejikita kufanya tafiti za kibinafsi.

  • TASNIA YA NGOZI YAWEKEWA MIKAKATI YA KUONGEZEWA THAMANI

    TASNIA YA NGOZI YAWEKEWA MIKAKATI YA KUONGEZEWA THAMANI

    June 09, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na wadau wa sekta ya ngozi jijini Dar es Salaam (09.04.2019) katika ofisi ndogo za Wizara ya Mifugo na Uvuvi namna ya kuboresha tasnia ya ngozi nchini.

.