Albamu ya Video

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UMUHIMU WA MWANI KTK KUKUZA SEKTA YA VIWANDA)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UMUHIMU WA MWANI KTK KUKUZA SEKTA YA VIWANDA)

    June 10, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu kwa undani zaidi zao la mwani na umuhimu wake katika kukuza sekta ya viwanda nchini na pamoja kukuza pato la mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla, kupitia bidhaa zinazotengezwa kwa kutumia zao la mwani.

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UMUHIMU WA USHIRIKA KTK KUINUA WAFUGAJI WA ASILI)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UMUHIMU WA USHIRIKA KTK KUINUA WAFUGAJI WA ASILI)

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu namna Wizara ya Mifugo na Uvuvi ilivyoweka mkazo wa kuhakikisha wafugaji wa asili wanakuwa katika vikundi vya ushirika ili iweze kufahamu idadi ya ng'ombe walionao pamoja na kuwasaidia kuwajengea mazingira mazuri ya ufugaji kwa lengo la kufanikiwa kiuchumi kupitia sekta ya mifugo nchini.

  • KIPINDI: MAFANIKIO YA FETA KWENYE MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KTK KUKUZA SEKTA YA UVUVI.

    KIPINDI: MAFANIKIO YA FETA KWENYE MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KTK KUKUZA SEKTA YA UVUVI.

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu majukumu ya Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) pamoja na namna inavyotumia teknolojia za kisasa katika kukuza sekta ya uvuvi nchini.

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (MAONESHO YA NANENANE 2019, NYAKABINDI-SIMIYU)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (MAONESHO YA NANENANE 2019, NYAKABINDI-SIMIYU)

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika makala haya utafahamu umuhimu wa maonesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Kata ya Nyakabindi Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu kuanzia tarehe 28 mwezi Julai hadi 08 mwezi Agosti mwaka 2019, ambapo Wizara ya Mifugo na Uvuvi inashiriki katika maonesho pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo. Kauli mbiu ya maonesho haya mwaka huu wa 2019, "Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa ukuaji wa uchumi wa nchi."

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (NANENANE 2019 NEEMA KWA WAFUGAJI NA WAVUVI)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (NANENANE 2019 NEEMA KWA WAFUGAJI NA WAVUVI)

    June 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika makala haya utafahamu umuhimu wa maonesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi yanayofanyika katika viwanja vya Kata ya Nyakabindi Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu kuanzia tarehe 28 mwezi Julai hadi 08 mwezi Agosti mwaka 2019, ambapo Wizara ya Mifugo na Uvuvi inashiriki katika maonesho pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo. Kauli mbiu ya maonesho haya mwaka huu wa 2019, "Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa ukuaji wa uchumi wa nchi."

.