Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
KIPINDI: PROGRAMU YA ATAMIZI-SEKTA YA UVUVI
April 03, 2023Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa sekta ya Uvuvi imeanzisha Programu maalumu ya Atamizi kwa vijana waliohitimu elimu ya vyuo vikuu na vile vya kati kwa kuwawezesha mafunzo kwa vitendo kuhusu ukuzaji viumbe maji.. Tazama hapo uone namna programu hiyo inavyotekelezwa, yale waliyojifunza vijana hao na matarajio yao..
-
MAKALA: UMUHIMU WA KUKUSANYA MAZIWA KATIKA VITUO RASMI
April 03, 2023Katika makala hii utafahamu majukumu ya Bodi ya Maziwa nchini katika kuhakikisha maziwa yanakuwa bora na yanaingizwa katika mfumo ulio rasmi kupitia vituo vya kukusanyia maziwa ili kufikishwa viwandani kwa ajili ya uchakataji na kuuzwa ndani na nje ya nchi.
-
SERIKALI KUKOPESHA WANAWAKE SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI
April 03, 2023SERIKALI KUKOPESHA WANAWAKE SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI
-
MAELEKEZO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. ULEGA
April 03, 2023MAELEKEZO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. ULEGA
-
TUNASHUKURU KWA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILLIONI 60 KWA AJILI YA UFUGAJI WA SAMAKI - MHE. ULEGA
April 03, 2023TUNASHUKURU KWA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILLIONI 60 KWA AJILI YA UFUGAJI WA SAMAKI - MHE. ULEGA